Job 1:6-9

6 aSiku moja wana wa Mungu
Wana wa Mungu hapa ina maana malaika au viumbe vya mbinguni.
walikwenda kujionyesha mbele za Bwana. Shetani
Shetani hapa ina maana ya mshtaki wa watakatifu.
naye akaja pamoja nao.
7 d Bwana akamwambia Shetani, “Umetoka wapi?”

Shetani akamjibu Bwana, “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembea huku na huko humo.”

8 eNdipo Bwana akamwambia Shetani, “Je, umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Hakuna mtu mwingine duniani aliye kama yeye, asiye na hatia, ni mnyofu, mwenye kumcha Mungu, na kuepukana na uovu.”

9 fShetani akamjibu Bwana, “Je, Ayubu anamcha Mungu bure?
Copyright information for SwhKC